Mchezaji wa Timu ya Simba akijaribu kumpita beki wa Timu ya Azam wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali Michuano ya Kombe la NMB Mapinduzi Cup, mchezo uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
DKT. CHAYA: UWEKEZAJI WA VIWANDA NI NGUZO YA AJIRA, MASOKO YA WAKULIMA NA
UCHUMI WA TAIFA
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jambo Group of Companies, Mhe. Salum Khamis akieleza
hatua za uzalishaji pamoja na uwekezaji uliofanyika kiwandani.
Mkurugenzi wa K...
7 hours ago














0 Comments