Mchezaji wa Timu ya Simba akijaribu kumpita beki wa Timu ya Azam wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali Michuano ya Kombe la NMB Mapinduzi Cup, mchezo uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI
-
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman
Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za
Kitaifa za Oli...
7 hours ago














0 Comments