6/recent/ticker-posts

Timu ya Yanga Yatinga Fainali Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 Kwa Kuifunga Timu ya Singida Bao 1-0, Mchezom Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar

MCHEZAJI wa Timu ya Singida  Joseph Guede akimpita beki wa Timu ya Yanga Shadrak Boka wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali, Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa New AmaanComplex Zanzibar, Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
MFUNGAJI wa bao la ushindi la Timu ya Yanga dhidi ya Timu ya Singida Maxi Zengeli akishangilia bao, wakati wa mchezo wa Nusu fainali michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0









GOLOKIPA wa Timu ya Singida  Metcha Mnata akiwania mpira na mchezaji wa Timu ya Yanga katika mchezo wao wa Nusu Fainali ya Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, mchezo uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.


 

Post a Comment

0 Comments