6/recent/ticker-posts

Timu ya Yanga Yatinga Fainali Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 Kwa Kuifunga Timu ya Azam Bao 1-0, Mchezom Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar

Mchezaji wa Timu ya Azam akimiliki mpira huku beki wa Timu ya Yanga akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wa nusu fainali ya michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, mchezo uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar. Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.












 

Post a Comment

0 Comments