Mshamhuliaji wa Timu ya Yanga Pacome Zoazoua akiwapita mabeki wa Timu ya TRA wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la NMB Mapinduzi Cup 2026, mchezo uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibat, Katika mchezo huo Timu ya Yanga imeshinda bao 1-0.
TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI
-
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman
Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za
Kitaifa za Oli...
7 hours ago






0 Comments