Mshamhuliaji wa Timu ya Yanga Pacome Zoazoua akiwapita mabeki wa Timu ya TRA wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la NMB Mapinduzi Cup 2026, mchezo uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibat, Katika mchezo huo Timu ya Yanga imeshinda bao 1-0.
BASI LA KINGS MASAI TOURS LAKAMATWA KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
TANZANIA NA MSUMBUJI, MMILIKI AHOJIWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogamu
9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari mat...
1 hour ago






0 Comments