Habari za Punde

Kamati za Ardhi Pemba Wapata Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo.

MKURUGENZI wa Jumuiya ya KUKHAWA Pemba Hafidhi Abdi Said, akifungua warsha ya siku mbili, kuwajengea uwezo kamati za ardhi za shehia juu ya umiliki wa Ardhi kwa Wanawake, kupitia Mradi wa Haki ya Umiliki wa Ardhi Pemba unaotekelezwa na KUKHAWA
MWANASHERIA kutoka Kamisheni ya Ardhi Pemba Asha Suleiman Said, akiwasilisha mada juu usajili wa ardhi, wakati wa wakati wa mkutano wa kuwajengea uwezo kamati za ardhi za shehia juu ya umiliki wa Arhdi kwa wanawake, kupitia Mradi wa Haki ya Umiliki wa Ardhi Pemba unaotekelezwa na KUKHAWA.
MMOJA ya wanawake walioko katika kamati za ardhi za shehia Sonaya Awadhi Mussa kutoka Mfikiwa, akiuliza swali wakati wa mkutano wa kuwajengea uwezo kamati za ardhi za shehia juu ya umiliki wa Arhdi kwa wanawake, kupitia Mradi wa Haki ya Umiliki wa Ardhi Pemba unaotekelezwa na KUKHAWA

BAADHI ya wanawake kutoka Shehia za Wilaya ya Mkoani na Chake Chake, wakifuatilia warsha ya kuwajengea uwezo kamati za Ardhi za Shehia juu ya umiliki wa ardhi kwa wanawake, ikiwa ni utekelezaji wa mradi huo Chini ya Jumuiya ya KUKHAWA Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.