Habari za Punde

Wanafunzi wa Sekondari Wilaya ya Micheweni Pemba Wapatiwa Mafunzo Kujiepusha na Migogoro na Udhalilishaji

MJUMBE wa Jumuiya ya Kuwezesha Vipaji vya Vijana Pemba (YETA) Haroub Ali Nassor, akitola maelezo ya Jumuiya yao kwa wanafunzi wa skuli ya Sekondari Konde, wakati wa utoaji wa elimu juu ya kuepuka migogoro na Udhalilishaji kipindi cha uchumaji wa zao la Karafuu
MWEZESHAJI wa mafunzo juu ya kuepuka migogoro na udhalilishaji wa kipindi cha uchumaji wa zao la karafuu kupitia mradi wakujenga uwelewa kwa vijana unaotekelezwa na Jumuiya ya YETA Pemba Dk.Ali Yussuf Ali, akiwasilisha mada kwa wanafunzi wa skuli ya Konde Sekondari
MWEZESHAJI wa mafunzo juu ya kuepuka migogoro na udhalilishaji wa kipindi cha uchumaji wa zao la karafuu kupitia mradi wakujenga uwelewa kwa vijana unaotekelezwa na Jumuiya ya YETA Pemba Dk.Ali Yussuf Ali, akiwasilisha mada kwa wanafunzi wa skuli ya Konde Sekondari

WANAFUNZI wa Skuli ya Sekondari Konde Wilaya ya Micheweni, wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa mada mbali mbali juu kuepuka migogoro na udhalilishaji kipindi cha uchumaji wa zao la karafuu.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.