Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, David Cleopa Msuya, wakati alipomtembelea nyumbani kwake Upanga, jijini Dar es salaam Februari 21, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, David Cleopa Msuya, wakati alipomtembelea nyumbani kwake Upanga, jijini Dar es salaam Februari 21, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba, wakati alipomtembelea nyumbani kwake Oysterbay, jijini Dar es salaam Februari 21, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wafadhili na Watu wenye uwezo kusaidia makundi maalum, ikiwemo Watu wenye
ulemavu ili waweze kuepukana na hali tegemezi.
-
Mwakilishi wa viti maalum kupitia Watu wenye ulemavu Mhe. Zainab Abdallah
Salim amewataka Wafadhili na Watu wenye uwezo kusaidia makundi maalum,
ikiwemo ...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment