WASHIRIKI wa Kikao cha kujadili masuala ya ardhi na
utatuzi wa migogoro, kilicho washirikisha masheha, wananchi na watendaji wa
serikali na kufanyika jamhuri holi Wete.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN)
NAIBU Mrajis wa Ardhi Pemba Asha Suleiman Said, akiwasilisha
mada sheria na taratibu za ardhi katika utatuzi wa migogoro, kwa masheha
wananchi na watendaji wa serikali mkutano uliofanyika Jamhuri Holi Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
MKUU wa Wilaya ya Wete Hamadi Omar Bakar, akizungumza
na msheha, wananchi na watendaji wa serikali Wete, katika kikao cha kujadilia
kuhusu Masuala ya Ardhi na utatuzi wa migogoro, kikao kilichofanyika Jamhuri
holi Wete.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
No comments:
Post a Comment