Habari za Punde

Makabidhiano ya misahafu Masjid Munawwara kisiwani Pemba

MSAIDIZI katibu wa Mufti Pemba Shekha Said Ahmad Mohamed, akizungumza na uongozi wa mskiti Munauwar Mfikiwa, wakati wahafla ya kukabidhi misahafu 200 ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba sheria Utumishi wa Umma na Utawala bora Zanzibar Haroun Ali Suleiman, mwaka jana wakati wa ufunguzi wa mskiti huo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.)

MSAIDIZI Katibu wa Mufti Pemba Sheikh Said Ahmad Mohamed (kulia) akimkabidhi Kaimu Imamu wa masjidi Munawara Mfikiwa Khamis Uledi(kushoto) misahafu 200, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba sheria Utumishi wa Umma na Utawala bora Zanzibar Haroun Ali Suleiman, mwaka jana wakati wa ufunguzi wa mskiti huo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.)

KAIMU imamu wa Masjid Munawwara Mfikiwa Khamis Uledi, akizungumza mara baada ya kupokea misahafu 200 ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba sheria Utumishi wa Umma na Utawala bora Zanzibar Haroun Ali Suleiman, mwaka jana wakati wa ufunguzi wa mskiti huo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.)

MUONEKANO wa Masjid Munawwara Mfikiwa uliofunguliwa mwishoni mwa mwaka jana na Waziri wan chi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Haroun Ali Suleiman, akimuwakilisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.