Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango akikabidhi Cheti kwa Mkuu wa Idara ya Ubunifu wa Benki ya NMB Tanzania Josina Njambi na Mkuu wa Idara za Serikali na Ofisi ndogo za Makao Makuu Dodoma wa NMB, Vicky Bishubo kwa kutambua mchango wa benki hiyo kwa kuendeleza shughuli za ubunifu, wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya Ubunifu Kitaifa, iliyofanyika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.Kushoto ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na kulia ni Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia-Prof. Adolf Mkenda.
G-7 Aims to Raise $600 Billion to Counter China's Belt and Road
-
Voice of America
28th June 2022, 16:05 GMT+10
Schloss Elmau, Germany - Group of Seven leaders Sunday pledged to raise
$600 billion in private and public ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment