Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango akikabidhi Cheti kwa Mkuu wa Idara ya Ubunifu wa Benki ya NMB Tanzania Josina Njambi na Mkuu wa Idara za Serikali na Ofisi ndogo za Makao Makuu Dodoma wa NMB, Vicky Bishubo kwa kutambua mchango wa benki hiyo kwa kuendeleza shughuli za ubunifu, wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya Ubunifu Kitaifa, iliyofanyika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.Kushoto ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na kulia ni Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia-Prof. Adolf Mkenda.
GGML, STAMICO wasaini mkataba wa Sh bilioni 55.2 kuchoronga miamba
-
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Shirika la Madini la Taifa
(STAMICO), imesaini mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya S...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment