Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi Ameongoza Wanazuoni Katika Hauli ya Miaka 100 Tangu kufariki Marehemu Alhabib Ahmad Bin Abubakar Bin Sumeyt Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Dini alipowasili katika viwanja vya Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja Jijini Zanzibar kuhudhuria Hauli ya Alhabib Sheikh Ahmad bin Abubakar Bin Sumeyt,miaka 100 tangu kufariki kwake

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Maulamaa(Wanazuoni) katika eneo la kaburi la Marehemu Alhabib Ahmad bin Abubabar bin Sumeyt wakimuombea dua ikiwa ni hauli ya kutimiza miaka 100 tangu kufariki kwake, hafla hiyo iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja Jijini Zanzibar leo 15-5-2022.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Maulamaa(Wanazuoni) katika eneo la kaburi la Marehemu Alhabib Ahmad bin Abubabar bin Sumeyt wakimuombea dua ikiwa ni hauli ya kutimiza miaka 100 tangu kufariki kwake, hafla hiyo iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja Jijini Zanzibar leo 15-5-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Alhabib Muhammed bin Omar, wakielekea katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja baada ya kumaliza kumsomea dua marehemu Alhabib Ahmad bin Abubakar bin Sumeyt.kwa ajili ya kisomo cha Hauli ya marehemu kutimia miaka 100 tangu kufa kwake

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Maulamaa (Wanazuoni) katika hauli ya kumuombea Marehemu Alhabib Ahmad bin Abubakar bin Sumeyt kwa kutimiza miaka 100 tangu kufariki kwake hauli hiyo iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja Jijini Zanzibar na kuhudhuriwa na Wanazuoni kutoka sehemu mbalimbali na Nje ya Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Maulamaa (Wanazuoni) katika hauli ya kumuombea Marehemu Alhabib Ahmad bin Abubakar bin Sumeyt kwa kutimiza miaka 100 tangu kufariki kwake hauli hiyo iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi na (kulia kwa Rais) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman Ngwali na  Wanazuoni kutoka sehemu mbalimbali na Nje ya Zanzibar






 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.