Kocha Mkuu wa timu ya Waandishi wa Habari za Michezo Zanzibar (ZASWA) Abubakar Khatib Haji (Kisandu), nikiongozana na kocha msaidizi Suleiman Mkubwa Mundhir Nyanga (kulia kwangu) na meneja wa ZASWA Ally Mohammed (kushoto kwangu), tukiwasili Dar es Salam tukitokea Zanzibar kwaajili ya safari ya Kwenda Wilayani Longido, Mkoa wa Arusha. ZASWA Fc tumealikwa kwenye Bonanza maalumu huko na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Longido Alawi H. Fuom .
CCM YATOA MAELEKEZO KWA TAMISEMI KUSIMAMIA UPELEKAJI WALIMU MAENEO YENYE UHITAJI, YASHITUKIA UFAULU GAIRO
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi TV - Gairo
CHAMA CHA Mapinduzi ( CCM) kupitia Katibu Mkuu wake Daniel Chongolo kimetoa
maelekezo kwa Wizara ya Nchi, Ofisi ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment