Kocha Mkuu wa timu ya Waandishi wa Habari za Michezo Zanzibar (ZASWA) Abubakar Khatib Haji (Kisandu), nikiongozana na kocha msaidizi Suleiman Mkubwa Mundhir Nyanga (kulia kwangu) na meneja wa ZASWA Ally Mohammed (kushoto kwangu), tukiwasili Dar es Salam tukitokea Zanzibar kwaajili ya safari ya Kwenda Wilayani Longido, Mkoa wa Arusha. ZASWA Fc tumealikwa kwenye Bonanza maalumu huko na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Longido Alawi H. Fuom .
UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA 
KASI
                      -
                    
Na Munir Shemweta, WANMM 
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya 
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
13 hours ago


No comments:
Post a Comment