Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussien Mwinyi Akagua Mradi wa Ujenzi wa Tangi la Maji Sizini Kilindini Wilaya ya Micheweni Pemba Akiendelea na Ziara Yake. J

MAFUNDI wa Kampuni ya Simba Developers Ltd inayojenga Tangi la Maji Safi na Salama katika eneo la Sizini Kilindini Wilaya ya Micheweni Pemba wakiendelea na Ujenzi wa Tangi hilo.kama wanavyoonekana pichani. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakiwasili katika eneo la Sizini Kilindini kukagua Ujenzi wa Tangi la Maji Safi na Salama, linalojengwa katika eneo hilo kupitia Fedha za Uviko-19, akiendelea na ziara yake Mkoa wa Kaskazini Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza Mhandisi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) akitowa maelezo ya kiufundi ya Ujenzi wa Tangi la Maji la Sizini Kilindini Wilaya ya Micheweni Pemba, akiwa katika ziara yake Pemba kutembelea Miradi ya Maendeleo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Sizini Kilindini Wilaya ya Micheweni Pemba baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Tangi la Maji Safi na Salama, akiendelea na ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo
WANANCHI wa Kijiji cha Sizini Kilindini Wilaya ya Micheweni Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwahutubia baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Tangi la Maji.
MAFUNDI wa Kampuni ya Simba Developers inayojenga Tangi la Maji Sizini Kilindini Wilaya ya Micheweni Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Wananchi wa Kijiji hicho wakati wa ziara yake kutembelea ujenzi wa Tangi hilo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.