Naibu
Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Khamis Hamza Khamis akizungumza na Mkandarasi
na Kamati ya ujenzi mara baada ya kukamilisha zoezi la ukaguzi wa jengo la
Ofisi ya Makamu wa Rais katika Mji wa Serikali – Mtumba kutoka kwa leo
16/09/2022. Mradi huo unatarajiwa kukamilika mwezi Novemba 2023 na utagharimu
kiasi cha Bilioni 18.8 na ujenzi wake umefikia asilimia 38 mpaka sasa.
Naibu
Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Khamis Hamza Khamis akipata maelezo kuhusu
maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais katika Mji wa Serikali –
Mtumba kutoka kwa Mhandisi Sajid Lukizo wa Suma JKT. Mradi huo unatarajiwa kukamilika
mwezi Novemba 2023 na utagharimu kiasi cha Bilioni 18.8 na ujenzi wake umefikia
asilimia 38 mpaka sasa. Wengine katika picha ni Kamati ya ujenzi kutoka Ofisi
ya Makamu wa Rais.
Naibu
Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Khamis Hamza Khamis akipata maelezo kuhusu
maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais katika Mji wa Serikali –
Mtumba kutoka kwa Mhandisi Sajid Lukizo wa Suma JKT. Mradi huo unatarajiwa kukamilika
mwezi Novemba 2023 na utagharimu kiasi cha Bilioni 18.8 na ujenzi wake umefikia
asilimia 38 mpaka sasa. Wengine katika picha ni Kamati ya ujenzi kutoka Ofisi
ya Makamu wa Rais.
No comments:
Post a Comment