Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Ndg Raya Issa Msellem Akitoa taarifa kwa Waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa Sita wa Chama cha Wanasheria wa Mabunge ya Nchi mbali mbali za Afrika unaotarajiwa kufanyika Zanzibar kuanzia tarehe 1 - 3 Novemba katika Hoteli ya Madinat Al Bahri, Zanzibar ambapo Baraza la Wawakilishi ndio Mwenyeji wa Mkutano huo na Mgeni Rasmi Anatarajiwa kuwa Mhe Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr Hussein Ali Mwinyi.
RIPOTI YA CAG YAFANYIA UKAGUZI MAALUM ‘PLEA BARGAIN’
-
Na Bakari Madjeshi, Michuzi TV
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere
amesema amefanya ukaguzi maalum kuhusu uendeshaji wa ...
1 minute ago
No comments:
Post a Comment