Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Ndg Raya Issa Msellem Akitoa taarifa kwa Waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa Sita wa Chama cha Wanasheria wa Mabunge ya Nchi mbali mbali za Afrika unaotarajiwa kufanyika Zanzibar kuanzia tarehe 1 - 3 Novemba katika Hoteli ya Madinat Al Bahri, Zanzibar ambapo Baraza la Wawakilishi ndio Mwenyeji wa Mkutano huo na Mgeni Rasmi Anatarajiwa kuwa Mhe Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr Hussein Ali Mwinyi.
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco ahitimisha ziara yake ya
Kiserikali, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco
Chapo mar...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment