Habari za Punde

Makocha watarajiwa wapewa mafunzo ya ukocha ngazi ya awali Mkoa wa Mjini Magharibi

Rais wa Shirikisho la Mpira wa miguu Zanzibar (ZFF) Abdulatif Ali akimkabidhi cheti mmoja wa washiriki wa kozi ya siku kumi ya Ukocha ngazi ya awali ( Basic) iliyoandaliwa na Chama cha mpira wa Miguu Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja huko uwanja wa Mao
Washiriki wa a kozi ya siku kumi ya Ukocha ngazi ya awali ( Basic) iliyoandaliwa na Chama cha mpira wa Miguu Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukamilisha mafunzoi yao
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.