Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki (East Africa Law Society) kabla ya kufungua Mkutano wa 27 wa Chama hicho uliofanyika Jijini Arusha tarehe 24 Novemba, 2022.
Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki EALS pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa 27 wa Chama hicho uliofanyika Jijini Arusha tarehe 24 Novemba, 2022.
Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki EALS pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa 27 wa Chama hicho uliofanyika Jijini Arusha tarehe 24 Novemba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki (East Africa Law Society) mara baada ya kufungua Mkutano wa 27 wa Chama hicho uliofanyika Jijini Arusha tarehe 24 Novemba, 2022.
UPATIKANAJI WA DAWA WAIMARIKA NCHINI
-
OWM-TAMISEMI
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(OWM– TAMISEMI) anayeshughulikia masuala ya Afya, Mhe. Dkt. Jafari ...
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyik...
-
*WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA ZIMBABWE, HELEN BAWANGE
DINGANI*
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
M...
0 Comments