Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki katika Mkutano wa Jukwaa la Biashara kwa Wakuu wa nchi za Afrika Jijini Washington

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Baadhi ya Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Marekani katika ukumbi wa US Convention Centre Jijini Washington DC nchini Marekani tarehe 14 Disemba 2022, ikiwa ni sehemu ya Mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani.



 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.