Habari za Punde

Wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Zanzibar Wafanya Zoezi la Kupima Afya Zao


Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Mwinyi Talib Haji akipimwa presha na wingi wa damu na Dokta kutoka Hospitali ya Mnazi mmoja Asha Mohammed Ali katika zoezi la upimaji lililofanyika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, Mazizini Mjini Zanzibar.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Mwinyi Talib Haji akipimwa presha na wingi wa damu na Dokta kutoka Hospitali ya Mnazi mmoja Asha Mohammed Ali katika zoezi la upimaji lililofanyika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, Mazizini Mjini Zanzibar.

Naibu Mwanasheria Mkuu Zanzibar Ramadhan Abdallah Haji akifurahia majibu aliyopatiwa na Dkt. Bigwa wa sukari kutoka Mnazimoja Faidha Kassim Suleiman baada ya kumaliza vipimo katika zoezi la upimaji afya huko afisini kwao Mazizini Mjini Zanzibar.

Mkurugenzi Idara ya Uwandishi wa Sheria Hassan Ali Haji akifanyiwa vipimo vya Presha na Wingi wadamu na daktari kutoka Mnazi mmoja Asha Mohammed Ali katika zoezi la kupima Afya za wafanyakazi wa ofisi hiyo lililofanyika Afisini kwao Mazizini Mjini Zanzibar.

Mfanyakazi wa Afisi ya Mwanasheria Mkuu ambaye pia ni wakili wa Serikali Zaitun Simba Abdallah akipimwa presha na wingi wa damu na dokta Saada Khalfan Haji katika zoezi la kuchunguza Afya za wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lililofanyika Afisini kwao Mazizini Mjini Zanzibar.

Wafanyakazi wa Afisi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakisubiri huduma ya vipimo vya Afya katika zoezi la kupima afya wafanyakazi hao lililofanyika Ofisini kwao Mazizini Mjini Zanzibar.

Naibu Mwanasheria Mkuu Zanzibar Ramadhan Abdallah Haji akifurahia majibu aliyopatiwa na Dkt. Bigwa wa sukari kutoka Mnazimoja Faidha Kassim Suleiman baada ya kumaliza vipimo katika zoezi la upimaji afya huko afisini kwao Mazizini Mjini Zanzibar.
Mkurugenzi Idara ya Uwandishi wa Sheria Hassan Ali Haji akifanyiwa vipimo vya Presha na Wingi wadamu na daktari kutoka Mnazi mmoja Asha Mohammed Ali katika zoezi la kupima Afya za wafanyakazi wa ofisi hiyo lililofanyika Afisini kwao Mazizini Mjini Zanzibar.
Mfanyakazi wa Afisi ya Mwanasheria Mkuu ambaye pia ni wakili wa Serikali Zaitun Simba Abdallah akipimwa presha na wingi wa damu na dokta Saada Khalfan Haji katika zoezi la kuchunguza Afya za wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lililofanyika Afisini kwao Mazizini Mjini Zanzibar.

Wafanyakazi wa Afisi ya mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakisubiri huduma ya vipimo vya Afya katika zoezi la kupima afya wafanyakazi hao lililofanyika Ofisini kwao Mazizini Mjini Zanzibar.

                                       Picha na Miza Othman - Maelezo Zanzibar.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.