Habari za Punde

Benki ya CRDB Yakabidhi Madarasa Mawili Shule ya Msingi Chuda Jijini Tanga

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Hawa Msuya (wapili kushoto) kwa pamoja na Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Tanga, January Kilambata (wapili kulia) wakibadilishana hati ya makabidhino ya madarasa mawili kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu wa Shule ya Msingi Chuda, jijini Tanga leo. Madarasa hayo yaliyo pamoja na ofisi ya Walimu yamejengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa thamani ya Shilingi Milioni 41. Kushoto ni Afisa Elimu ya Awali na Msingi, Kassim Kaoneka pamoja na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Mbwana Hassan.
Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Hawa Msuya (wapili kushoto) kwa pamoja na Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Tanga, January Kilambata (wapili kulia) wakisaini hali ya makabidhino ya madarasa mawili kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu wa Shule ya Msingi Chuda, jijini Tanga leo. Madarasa hayo yaliyo pamoja na ofisi ya Walimu yamejengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa thamani ya Shilingi Milioni 41. Kushoto ni Afisa Elimu ya Awali na Msingi, Kassim Kaoneka pamoja na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Mbwana Hassan.
Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Hawa Msuya (wapili kushoto) akizungumza wakati wa hafla fupi ya makabidhino ya madarasa mawili kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu wa Shule ya Msingi Chuda, jijini Tanga leo. Madarasa hayo yaliyo pamoja na ofisi ya Walimu yamejengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa thamani ya Shilingi Milioni 41.

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Hawa Msuya (wapili kushoto) kwa pamoja na Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Tanga, January Kilambata (wapili kulia) wakisaini hati ya makabidhino ya madarasa mawili kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu wa Shule ya Msingi Chuda, jijini Tanga leo. Madarasa hayo yaliyo pamoja na ofisi ya Walimu yamejengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa thamani ya Shilingi Milioni 41.
Muonekano wa Madarasa hayo yaliyokabidhiwa leo kwa Shule ya Msingi Chuda, Tanga.
Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Hawa Msuya (wapili kushoto), Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Tanga, January Kilambata pamoja na Afisa Elimu ya Awali na Msingi, Kassim Kaoneka (walioketi katikati) wakiungana na wanafunzi wenye uhitaji maalumu na walimu kuipongeza Benki ya CRDB kwa msaada wa madarasa mawili kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu wa Shule ya Msingi Chuda, jijini Tanga leo. Madarasa hayo yaliyo pamoja na ofisi ya Walimu yamejengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa thamani ya Shilingi Milioni 41.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.