Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano Shirika la Bima la Taifa (NIC) Karimu Meshack akimkabidhi fedha taslim Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi kutoka Timu ya Malindi Humuoud Suleiman ameibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Kati ya Azam na Malindi katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment