Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano Shirika la Bima la Taifa (NIC) Karimu Meshack akimkabidhi fedha taslim Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi kutoka Timu ya Malindi Humuoud Suleiman ameibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Kati ya Azam na Malindi katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Awahutubia Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Akiendelea na Mikutano yake ya Kampeni
-
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa
CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu
H...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment