Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano Shirika la Bima la Taifa (NIC) Karimu Meshack akimkabidhi fedha taslim Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi kutoka Timu ya Malindi Humuoud Suleiman ameibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Kati ya Azam na Malindi katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment