Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano Shirika la Bima la Taifa (NIC) Karimu Meshack akimkabidhi fedha taslim Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi kutoka Timu ya Malindi Humuoud Suleiman ameibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Kati ya Azam na Malindi katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
MKURUGENZI MTENDAJI WA NBAA ATEMBELEA KITUO CHA UWEKEZAJI CHA APC BUNJU,
AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu
Tanzania (NBAA), CPA Prof. Siasa Issa Mzenzi, ametembelea kituo cha
uwekezaji c...
10 hours ago
0 Comments