Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano Shirika la Bima la Taifa (NIC) Karimu Meshack akimkabidhi fedha taslim Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi kutoka Timu ya Malindi Humuoud Suleiman ameibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Kati ya Azam na Malindi katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
MUDY PESA AMKAMIA MANCHUGA PAMBANO LA KILL BOXING TOUR
-
Na. Khadija Seif, Michuzi TV
Bondia wa Ngumi za Kulipwa nchini, Mudy Pesa maarufu ‘Misumari ya Zege’
amechimba mkwara kuelekea pambano lake la ndondi dhi...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment