
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Festo Dugange akizungumza wakati wa hafla fupi ya kupokea msaada wa vitanda 10 kwa ajili ya kituo cha afya cha Levolosi, kilichopo jijini Arusha, uliotolewa na Benki ya CRDB, Vitanda hivyo vinathamani ya shilingi milioni sita.
No comments:
Post a Comment