Habari za Punde

TIMU YA YANGA YATWAA KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM SPORTS

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma (kulia) akimkabidhi Nahodha wa timu ya Yanga Bakari Mwamnyeto (kushoto) Kombe la Shirikisho la Azam Sports Juni 12, 2023 katika Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga mara baada ya kuifunga timu ya Azam kwa kwa 1-0. Wa kwanza kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu.

Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia mara baada ya kukabidhiwa Kombe la Shirikisho la Azam Sports Juni 12, 2023 katika Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga kwa kuifunga timu ya Azam kwa kwa 1-0.




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.