Habari za Punde

Uwasilishwaji Wa Taarifa ya Ukaguzi wa Hesebu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Viwanja vya Ikulu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika eneo lililoandaliwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, kwa ajili ya uwasilishwaji wa Taarifa za Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, iliyowasilishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa  Hesabu za Serikali Dkt. Othman Abbas Ali, iliyowasilishwa leo 3-6-2023 katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar wakati ukipingwa wimbo wa Taifa, kabla ya kuaza kwa hafla ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika leo 3-6-2023 katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
VIONGOZI mbalimbali wa Serikali wakiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman na (kushoto kwake) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dkt.Mwinyi Talib Haji na (kulia kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman,Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar.Dkt. Othman Abbas Ali, Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania  (CAG)   Charles Kichele  na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa, wakiwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar wakati ukipigwa wimbo wa Taifa.

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Serikali Zanzibar Dkt. Othman Abbas Ali akielekea katika eneo lililoandaliwa kwa ajili ya kuwasilisha Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika leo 3-6-2023 katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar Dkt. Othman Abbas Ali akiwasilisha Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,hafla hiyo iliyofanyika leo 3-6-2023, katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar
 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar Dkt. Othman Abbas Ali akiwasilisha Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,hafla hiyo iliyofanyika leo 3-6-2023, katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kuzungumza na Viongozi na Wananchi, baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Ukaguzu wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, iliyowasilisha leo 3-6-2023 katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakati wa hafla ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, iliyowasilishwa leo 3-6-2023 na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar Dkt. Othman Abbas Ali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakati wa hafla ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, iliyowasilishwa leo 3-6-2023 na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar Dkt. Othman Abbas Ali.
VIONGOZI wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (kutoka kushoto) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman,Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dkt.Mwinyi Talib Haji, Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Salum Mkuya na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-6-2023
VIONGOZI wa Vyama vya Siasa wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, iliyowasilisha na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Dkt.Othman Abbas Ali, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-6-2023

VIONGOZI wa Serikali na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,iliyowasilisha na Mdhibiti na Mkuguzi Mkuu wa Serikali Dkt.Othman Abbas Ali, hafla hiyo iliyofanyika leo 3-6-2023 katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.

BAADHI Watendaji Wakuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Wageni waalikwa wakifuatilia taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakati ikiwasilishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali Zanzibar Dkt. Othman Abbas Ali.(hayupo pichani) hafla hiyo iliyofanyika leo 3-6-2023 katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar

VIONGOZI wa Vyama vya Siasa wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, iliyowasilisha na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Dkt.Othman Abbas Ali, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 3-6-2023

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.