Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mpango Azindua Kituo cha Afya Lilambo -Ruvuma

 








Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Afya Lilambo kilichopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimsikiliza muuguzi wa Kituo cha Afya Lilambo Bi. Lightness Masasa kuhusu huduma zinazotolewa wakati wa kumpokea mgonjwa anayefika kituoni hapo wakati wa uzinduzi wa kituo cha Afya Lilambo kilichopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwahutubia viongozi na  wananchi mbalimbali wa kata ya Lilambo mara baada ya kuzindua  Kituo cha Afya Lilambo kilichopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na wananchi mbalimbali wa kata ya Lilambo wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Afya Lilambo kilichopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.