Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary Majaliwa wakiongozana na Balozi wa Tanzania nchini Urusi Fredrick Kibuta (kushoto) baada ya kupokelewa kwenye uwanja wa Ndege wa Pulkovo, St. Petersburg, Urusi Julai 25, 2023. Mheshimiwa Majaliwa atamuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa pili wa kilele baina ya wakuu wa Nchi na Serikali kutoka mataifa ya Afrika na Urusi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAANDISHI WA HABARI KIGOMA WATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YA MANISPAA YA
KIGOMA UJIJI
-
Na Editha Karlo,Kigoma.
WAANDISHI wa habari wa Mkoa wa kigoma toka vyombo mbalimbali wamefanya
ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo 14 kati ya mira...
40 minutes ago

0 Comments