Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mhe Simai Mohammed Said akiendelea kushiriki Mkutano wa Kimataifa kuhusiana na Urithi wa Dunia huko nchini Saudi Arabia. Katika ziara hio ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania Dr Hassan Abbas pamoja na, Mkurugenzi wa Mamlaka na Hifadhi ya Uendelezaji wa Mji Mkongwe pamoja na Tume ya Taifa ya UNESCO ya Tanzania.
TTCL KUJENGA MINARA ZAIDI YA 1,400 KUIMARISHA MAWASILIANO NCHINI
-
Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), CPA (T) Moremi Marwa,
amesema katika mwaka wa fedha 2025/2026 Serikali kupitia shirika hilo
imepanga...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment