Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mhe Simai Mohammed Said akiendelea kushiriki Mkutano wa Kimataifa kuhusiana na Urithi wa Dunia huko nchini Saudi Arabia. Katika ziara hio ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania Dr Hassan Abbas pamoja na, Mkurugenzi wa Mamlaka na Hifadhi ya Uendelezaji wa Mji Mkongwe pamoja na Tume ya Taifa ya UNESCO ya Tanzania.
WALEMAVU WA MACHO WAPEWE FURSA KAMA WATU WENGINE
-
Na Linda Akyoo -Moshi
Mratibu wa Chama cha Wasioona Tanzania kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi
Ajira vijana na wenye ulemavu Kizito Lucas Wambura,amefanya u...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment