Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mhe Simai Mohammed Said akiendelea kushiriki Mkutano wa Kimataifa kuhusiana na Urithi wa Dunia huko nchini Saudi Arabia. Katika ziara hio ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania Dr Hassan Abbas pamoja na, Mkurugenzi wa Mamlaka na Hifadhi ya Uendelezaji wa Mji Mkongwe pamoja na Tume ya Taifa ya UNESCO ya Tanzania.
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
-
Na Mwandishi wetu
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake
zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa k...
7 hours ago

0 Comments