Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mhe Simai Mohammed Said akiendelea kushiriki Mkutano wa Kimataifa kuhusiana na Urithi wa Dunia huko nchini Saudi Arabia. Katika ziara hio ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania Dr Hassan Abbas pamoja na, Mkurugenzi wa Mamlaka na Hifadhi ya Uendelezaji wa Mji Mkongwe pamoja na Tume ya Taifa ya UNESCO ya Tanzania.
Biashara : Benki ya NBC ‘Yawanoa’ Wataalam Teknolojia ya Huduma za Fedha
ili Kuchochea Uchumi Jumuishi.
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendesha semina maalum kwa ajili ya
wadau wa Umoja wa Makampuni yanayotoa Huduma za Kifedha kupitia Teknolojia
Tanzan...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment