Mshambuliaji wa Timu ya Kundemba akimiliki mpira huku beki wa Timu ya Chipukizi akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Premier League 2023-2024 mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Jijini Zanzibar
SHIRIKA LA MASOKO YA KARIAKOO LAANZA KUANDAA MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO
2026-2031
-
Shirika la Masoko ya Kariakoo limeanza rasmi maandalizi ya Mpango Mkakati
mpya wa miaka mitano 2026-2031, hatua inayolenga kulifanya soko hilo la
kimataifa...
4 hours ago
0 Comments