Makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla (kushoto) mara alipowasili kwa ajili ya ufunguzi wa kongamano la siku mbili la kumuenzi maalim Seif. Picha na ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, mhe. Othman Masoud Othman, akisalimiana na Bwana Mmusi Maimane (kulia) ambaye ni Kiongozi wa Chama cha upinzani cha Afrika Kusini mara Mhe. Othman alipowasili katika hoteli ya golden Tulip kiembesamaki kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa Kongamano la siku mbili la kumuenzi marehemu maalim Seif. Picha na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Makamu wa Pili wa rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla,( kulia) akisalimiana na Waziri wa Afya wa Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui alipowasili huko hoteli ya Golden Tulip uwanja wa ndege Zanzibar kuhudhuria ufunguzi wa kongamano la siku mbili la kumuenzi marehemu maalim seif (katikati) ni mjane wa marehemu Maalim Seif Mama Awena sinani Masoud. Picha na Ofisi ya Makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar .
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa
Zanzibar, mhe. Othman Masoud Othman, akihutubia
kufunua kongamano la siku mbili la kumuenzi marehemu maalim seif sharif amad
huko katika hoteli ya golden Tulip
kiembesamaki Zanzibar leo tarehe
25.11.2023. Picha na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
No comments:
Post a Comment