Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Ameufungua Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar Ikiwa ni Shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuufungua Uwanja wa Amaan Zanzibar, baada ya kukamilika ujenzi wake, hafla hiyo ya ufunguzi iliyofanyika leo 27-12-2023, ikiwa ni shamrashamra za Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuufungua Uwanja wa Amaan Zanzibar baada ya kukamilika ujenzi wake, hafla hiyo iliyofanyika leo 27-12-2023 ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matikufu ya Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa na (kulia kwa Rais) Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe.Tabia Maulid Mwita na Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Tanzania Mhe.Dkt. Damas Ndumbaro.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya ufunguzi wa Uwanja wa Amaan Zanzibar, baada ya kukamilika ujenzi wake, ufunguzi huo uliofanyika leo 27-12-2023  ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
WANANCHI wa Zanzibar wakishangilia wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Uwanja wa Amaan Zanzibar, baada ya kukamilika ujenzi wake,uliofunguliwa leo 27-12-2023 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, ikiwa ni shamra shamra za kuadhimisha Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.