Habari za Punde

KINANA AZUNGUMZA NA MABALOZI WA UINGEREZA NA UGANDA NCHINI TANZANIA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania. Mhe David Concar leo  Februari 21, 2024 , katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar Es Salaam.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Uganda Nchini Tanzania. Kanali Mstaafu Fredy Mwesigye, leo  Februari 21, 2024 , katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar Es Salaam.


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.