RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake CEO
wa Shirika la Marekani Linalojihusisha na
Kustawisha Maisha ya Wazee (AARP) Bi. Jo Ann C.Jenkins, alipofika Ikulu Jijini
Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Zanzibar leo 9-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake CEO wa Shirika la
Marekani linalojihusisha na Kustawisha Maisha ya Wazee (AARP) Bi. Jo
Ann C.Jenkins (kulia kwa Rais) akiwa na Mkurugenzi wa Mtendaji wa Help
Age Tanzania Bw. Smart Daniel,mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Shirika la
Marekani la (AARP) ukiongozwa na CEO wa Shirika hilo Bi. Jo Ann C. Jenkins.(kulia
kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
leo 9-2-2024 na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na
Watoto Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma
No comments:
Post a Comment