RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Viongozi wa Dini na Masheikh katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar walipofika kumsalimia na kumtakia Kheri ya Sikukuu ya Eid Fitry, na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utaweala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman.
VIONGOZI wa Dini na Masheikh Zanzibar
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj
Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akizungumza na Masheikh hao
katika ukumbi wav Ikulu Jijini Zanzibar, walipofika kwa ajili ya kumsalimia na
kumtakia kheri ya Sikukuu ya Eid Fitry, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 10-4-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Masheikh na Viongozi wa
Dini katika kuitikia dua ikisomwa na Sheikh. Khamis Abdulhamid (hayupo pichani)
baada ya kumaliza kumsalimia na kumtakia Kheri na Sikukuu ya Eid Fitry, na
(kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi na Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Masheikh na Viongozi wa
Dini katika kuitikia dua ikisomwa na Sheikh. Khamis Abdulhamid (hayupo pichani)
baada ya kumaliza kumsalimia na kumtakia Kheri na Sikukuu ya Eid Fitry, na
(kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi na Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Sheikh. Khamis
Abdulhamid, baada ya kumaliza kumsalimia na kumtakia Kheri na Sikukuu ya Eid
Fitry, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo
10-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsalimia na kutowa mkono wa Eid Fitry
kwa Mwananchi Bi.Lozi Ali wa Ali, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika
viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi
waliofika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kumsalimia na
kumtakia Kheri ya Sikukuu ya Eid Fitry, na kutowa mkono wa Eid kwao
WANANCHI waliofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa
ajili ya kumsalimia na kumtakia Kheri ya Sikukuu ya Eid Fitry, wakimsikiliza
Rais wa Zabzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali
Mwinyi, wakati akiwasalimia na kutwapa mkono wa Eid Fitry katika viwanja vya
Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-4-2024
No comments:
Post a Comment