Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Ameongoza Wananchi Katika Maziko ya Aliyewahi Kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni na Waziri wa SMZ Marehemu Burhan Saadat Haji Yaliyofanyika Kijijini Kwao Kiembersamaki Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kutowa mkono wa pole kwa Mtoto wa Marehemu aliyewahi kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni na Waziri wa Afya Zanzibar Mzee Burhani Saadat Haji. Saadat Burhani Saadat alipowasili katika viwanja vya Msikiti wa Maisara kwa ajili ya Sala ya Maiti iliyofanyika katika msikiti huo leo 9-4-2024 na kuzikwa Kijijini kwao Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali na Wananchi katika kisomo cha hitma kabla ya kufanyika kwa Sala ya Maiti ya kumuombea aliyewahi kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar na Waziri wa SMZ  Marehemu Burhani Saadat Haji, iliyofanyika katika Msikiti wa Maisara Wilaya ya Mjini Unguja leo 9-4-2024 na kuzikwa Kijijini kwao Kiembesamaki


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijuika na Viongozi na Wananchi katika kubeba jeneza likiwa na mwili ya Marehemu Burhan Saadat Haji, aliyewahi kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni na Waziri wa SMZ, Ibada ya Sala ya Maiti iliyofanyika katika Msikiti wa Maisara leo 9-4-2024, na kuzikwa Kijijini kwao Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali na Wananchi katika Sala ya Maiti,kumsalia aliyewahi kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar na Waziri wa SMZ, Marehemu Burhan Saadat Haji, iliyoongoza na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, iliyofanyika katika Msikiti wa Maisara Wilaya ya Mjini Unguja leo 9-4-2024 na kuzikwa Kijijini kwao Kiembesamaki
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali na Wananchi katika kuitikia dua ya kumuombea aliyewahi kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar na Waziri wa SMZ, Marehemu Burhan Saadat Haji,ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi,baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti, iliyofanyika katika Msikiti wa Maisara Wilaya ya Mjini Unguja leo 9-4-2024 na kuzikwa Kijijini kwao Kiembesamaki


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiweka udongo katika kaburi likiwa na mwili wa Marehemu Burhan Saadat Haji, wakati wa maziko ya aliyewahi kuwa Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar na Waziri wa SMZ Marehemu Burhan Saadat Haji, yaliyofanyika kijijini kwao Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 9-4-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali na Wananchi katika kuitikia dua ya kumuombea aliyewahi kwa Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni na Waziri wa SMZ Marehemu Burhan Saadat Haji, yaliyofanyika Kijijini kwao Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 9-4-2024.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.