Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ,Itikadi na Uenezi Ndg.Amos Gabriel Makalla akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali viliuoko Zanzibar kughusiana na Kikao Maalu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo Zanzibar na kuongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment