Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ,Itikadi na Uenezi Ndg.Amos Gabriel Makalla akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali viliuoko Zanzibar kughusiana na Kikao Maalu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo Zanzibar na kuongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
7 hours ago

0 Comments