Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ,Itikadi na Uenezi Ndg.Amos Gabriel Makalla akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali viliuoko Zanzibar kughusiana na Kikao Maalu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo Zanzibar na kuongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment