Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ,Itikadi na Uenezi Ndg.Amos Gabriel Makalla akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali viliuoko Zanzibar kughusiana na Kikao Maalu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo Zanzibar na kuongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
PURA YATOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU MRADI WA UCHIMBAJI VISIMA VYA GESI
MTWARA
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema kuwa utoaji wa
elimu kwa wananchi kuhusu miradi inayotarajiwa kutekelezwa ni miongoni mwa
masua...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment