Asalam alaykum !
Siku ya Jumamosi 25/5/2024 zimeokotwa fedha nyingi kiasi, nje ya msikiti wa Mwanyanya baada ya Sala ya magharibi, Aliepoteza awasiliane na imamu wa msikiti wa Mwanyanya pamoja na ushahidi.
Tafadhali eneza taarifa hii katika makundi mbalimbali haraka!
No comments:
Post a Comment