MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika ukumbi wa mkutano Afisi Kuu ya CCM
Zanzibar, kwa ajili ya kuongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya
CCM Zanzibar, kilichofanyika leo 15-5-2024 na (kulia kwa Rais) Mjumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais)
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa.
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya
CCM Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa mkutano wakati Makamu Mwenyekiti wa Chama
Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwasili katika ukumbi kwa
ajili ya kuongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar
kilichofanyika leo 15-5-2024, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Jijini Zanzibar.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu
ya CCM Zanzibar, kilichofanyika leo katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya
CCM Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa mkutano Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Zanzibar, wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar
ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiongoza Kikao hicho kilichofanyika
leo 15-5-2024
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya
CCM Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa mkutano Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Zanzibar, wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar
ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiongoza Kikao hicho kilichofanyika
leo 15-5-2024
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya
CCM Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa mkutano Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Zanzibar, wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar
ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiongoza Kikao hicho kilichofanyika
leo 15-5-2024
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya
CCM Zanzibar wakisoma makabrasha ya Kikao kabla ya kuaza, kilichoongozwa na
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,kilichofanyika
katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja leo
15-5-2024
No comments:
Post a Comment