Habari za Punde

Maafisa Forodha wa Nchi Nane Wapewa Mafunzo Mkoani Arusha

Afisa Uvuvi Mkuu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Fainahappy Kimambo akifungua Mkutano wa pamoja wa Maafisa wanaosimamia utekelezaji wa Itifaki ya Montreal inayohusu udhibiti wa kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni na Maafisa Forodha wa Nchi nane za Afrika unaofanyika jijini Arusha leo tarehe 7 Mei, 2025.

Mwakilishi kutoka Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa Bw. Patrick Salifu akitoa neno la ukaribisho wakati wa Mkutano wa pamoja wa Maafisa wanaosimamia utekelezaji wa Itifaki ya Montreal inayohusu udhibiti wa kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni na Maafisa Forodha wa Nchi nane za Afrika unaofanyika jijini Arusha leo tarehe 7 Mei, 2025.

Washiriki wa Mkutano wa pamoja wa Maafisa wanaosimamia utekelezaji wa Itifaki ya Montreal inayohusu udhibiti wa kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni na Maafisa Forodha wa Nchi nane za Afrika unaofanyika jijini Arusha leo tarehe 7 Mei, 2025.

Washiriki wa Mkutano wa pamoja wa Maafisa wanaosimamia utekelezaji wa Itifaki ya Montreal inayohusu udhibiti wa kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni na Maafisa Forodha wa Nchi nane za Afrika unaofanyika jijini Arusha leo tarehe 7 Mei, 2025.

Washiriki wa Mkutano wa pamoja wa Maafisa wanaosimamia utekelezaji wa Itifaki ya Montreal inayohusu udhibiti wa kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni na Maafisa Forodha wa Nchi nane za Afrika unaofanyika jijini Arusha leo tarehe 7 Mei, 2025.

Washiriki wa Mkutano wa pamoja wa Maafisa wanaosimamia utekelezaji wa Itifaki ya Montreal inayohusu udhibiti wa kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni na Maafisa Forodha wa Nchi nane za Afrika wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa mkutano huo unaofanyika jijini Arusha leo tarehe 7 Mei, 2025.


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.