Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Mpango Amefungua Maonesho ya NaneNane Kitaifa 2025












Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Viongozi mbalimbali wakati akiwasili katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma kwaajili ya Ufunguzi wa maonesho ya Nanenane Kitaifa leo tarehe 01 Agosti 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Frank Nyabundege kuhusu miradi mbalimbali inayofadhiliwa na Benki hiyo wakati Makamu wa Rais akikagua mabanda ya maonesho katika ufunguzi wa maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayofanyika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma. Tarehe 01 Agosti 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) Frank Nyabundege kuhusu miradi mbalimbali inayofadhiliwa na Benki hiyo wakati Makamu wa Rais akikagua mabanda ya maonesho katika ufunguzi wa maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayofanyika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma. Tarehe 01 Agosti 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Zana na uongezaji Thamani Wizara ya Kilimo Bi. Anna Mwangamilo wakati alipotembelea banda la zana za kilimo katika ufunguzi wa maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayofanyika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma. Tarehe 01 Agosti 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Zana na uongezaji Thamani Wizara ya Kilimo Bi. Anna Mwangamilo wakati alipotembelea banda la zana za kilimo katika ufunguzi wa maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayofanyika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma. Tarehe 01 Agosti 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitoa maelekezo kwa Maafisa Kilimo kuhusu kuwasimamia vema wakulima wakati alipotembelea shamba darasa la Wilaya ya Chamwino katika ufunguzi wa maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayofanyika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma. Tarehe 01 Agosti 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikagua banda la mifugo la Wizara ya Mifugo na Uvuvi wakati wa ufunguzi wa maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayofanyika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma. Tarehe 01 Agosti 2025.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.