Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla jana tarehe 05.08.2025 alishiriki katika michuano ya Chan2024 na kushuhudia mchezo uliozikutanisha timu ya Nigeria na Senegal katika Uwanja wa New Amani Complex Zanzibar.
WAKULIMA WAASWA KUWEKEZA KWENYE VITUO VYA MAFUTA,BIASHARA YA LPG
-
*Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Balozi Simon Sirro,akipata maelezo kutoka kwa
Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA Kanda ya ...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment