Habari za Punde

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyin Awahutubia Wananchi wa Jimbo la Pangawe Viwanja vya Nyarugusi na Kuomba Kura

Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  kwa Tiketi ya CCM, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi katika mkutano wake wa Kampeni uliyofanyika katika viwanja vya Nyarugusi Jimbo la Pangawe Zanzibar, akiomba kura na kuonersha picha yake katika karatasi  nya mfano wa kura  na kumuombea Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na kuwaombea Wagombea Ubunge,Uwakilishi na Udiwani wa CCM.


 












..........


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.