ASKARI wa Usalama Barabarani akiwakatisha njia watoto wa Skuli ya Chekechea ya Kidutani wakitoka skuli kurudi nyumbani katika barabara ya Haile jana ili kuepusha usumbufu wanaoupata watoto kushindwa kuvuka barabara.
MBUNGE LIWAKA AWAHAKIKISHIA MAMALISHE KUTATULIWA CHANGAMOTO ZA MAJI, MASOKO
NA MIKOPO
-
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Fadhili Liwaka,akisonga ugali kwenye moja ya
masoko ambayo mama nitilie wanaojihusisha na uuzaji wa vyakula.
Mbunge wa Jimbo...
1 hour ago
0 Comments