6/recent/ticker-posts

Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyowashikisha Wafanyakazi wa Serikali, Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi,

WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Juma Malik Akil akizungumza na kuyafungua Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyowashikisha Wafanyakazi wa Serikali, Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi, yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar. 



MKURUGENZI Muendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Nassor Ameir akizungumza na kutowa maelezo kuhusiana na mfuko huo wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa kupitia Mfuko wa (ZSSF) mafunzo hayo ya siku mbili yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar.Wilaya ya Mjini Unguja.

MAOFISA wa ZSSF wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wakati Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Juma Malik Akil akihutubia na kuyafungua mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar.


WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Juma Malik Akil akizungumza na kuyafungua Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyowashikisha Wafanyakazi wa Serikali, Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi, yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar.

WASHIRIKI wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) wakimsikiliza Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Dkt. Juma Malik Akil akizungumza na kuyafungua mafunzo hayo ya siku mbili yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar, yaliyowaashirikisha Wafanyakazi wa Serikali, Mashirikika ya Umma na Taasisi Binafsi.




MKUFUNZI Madi Jaffar Khamis kutoka (ZSSF) akiwasilisha Mada kuhusiana na Matayarisho ya Kustaafu wakati wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja, yaliyowashirikisha Wafanyakazi wa Serikali,Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi.

MKUFUNZI Madi Jaffar Khamis kutoka (ZSSF) akiwasilisha Mada kuhusiana na Matayarisho ya Kustaafu wakati wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja, yaliyowashirikisha Wafanyakazi wa Serikali,Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi.

MKUFUNZI Dorah Nestory Chenyambuga Mhadhiri kutoka TIA akiwasilisha Mada kuhusiana na Maisha Baada ya Kustaafu, wakati wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja, yaliyowashirikisha Wafanyakazi wa Serikali,Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi.

MKUFUNZI Dorah Nestory Chenyambuga Mhadhiri kutoka TIA akiwasilisha Mada kuhusiana na Fursa za Uwekezaji kwa Wastaafu Katika Taasisi za Fedha, wakati wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja, yaliyowashirikisha Wafanyakazi wa Serikali,Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi.



MKUFUNZI Dorah Nestory Chenyambuga Mhadhiri kutoka TIA akiwasilisha Mada kuhusiana na Fursa za Uwekezaji kwa Wastaafu Katika Taasisi za Fedha, wakati wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja, yaliyowashirikisha Wafanyakazi wa Serikali,Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi.

MKUFUNZI Mussa Yussuf Afisa Mafao (ZSSF) akiwasilisha Mada Taratibu za Kudai Mafao ya Ustaafu (ZSSF)  wakati wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja, yaliyowashirikisha Wafanyakazi wa Serikali,Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi.



MKUFUNZI Mussa Yussuf Afisa Mafao (ZSSF) akiwasilisha Mada Taratibu za Kudai Mafao ya Ustaafu (ZSSF)  wakati wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja, yaliyowashirikisha Wafanyakazi wa Serikali,Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi.

MKUFUNZI Mussa Yussuf Afisa Mafao (ZSSF) akiwasilisha Mada Taratibu za Kudai Mafao ya Ustaafu (ZSSF)  wakati wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja, yaliyowashirikisha Wafanyakazi wa Serikali,Mashirika ya Umma na Taasisi Binafsi.





Post a Comment

0 Comments