WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar
Mhe.Dkt. Juma Malik Akil akizindua Kitabu cha Safari ya Kustaafu kilichotungwa
na Mudrik Abdallah Mussa (kulia kwa Waziri) uzinduzi huo uliyofanyika wakati wa
Ufunguzi wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa
Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) na (kushoto kwa
Waziri) Mkurugenzi Muendeshaji wa (ZSSF) Nassor Ameir, uzinduzi huo uliyofanyika
katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar.
WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Juma Malik Akil akizindua Kitabu cha Safari ya Kustaafu kilichotungwa na Mudrik Abdallah Mussa (kulia kwa Waziri) uzinduzi huo uliyofanyika wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) na (kushoto kwa Waziri) Mkurugenzi Muendeshaji wa (ZSSF) Nassor Ameir, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar.

WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar
Mhe.Dkt. Juma Malik Akil, akiwa katika picha ya pamoja washiriki na wasimamizi
wa Kitabu cha Safari ya Kustaafu baada ya kukizindua Kitabu hicho cha Safari ya
Kustaafu kilichotungwa na Mudrik Abdallah Mussa (kulia kwa Waziri) uzinduzi huo
uliyofanyika wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu
Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) na
(kushoto kwa Waziri) Mkurugenzi Muendeshaji wa (ZSSF) Nassor Ameir, uzinduzi huo
uliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar.
WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Juma Malik Akil, akiwa katika picha ya pamoja washiriki na wasimamizi wa Kitabu cha Safari ya Kustaafu baada ya kukizindua Kitabu hicho cha Safari ya Kustaafu kilichotungwa na Mudrik Abdallah Mussa (kulia kwa Waziri) uzinduzi huo uliyofanyika wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Maandalizi ya Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) na (kushoto kwa Waziri) Mkurugenzi Muendeshaji wa (ZSSF) Nassor Ameir, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar.WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar
Mhe.Dkt.Juma Malik Akil akimkabidhi Kitabu cha Safari ya Kustaafu mmoja wa Washiriki wa Mafunzo ya Maandalizi ya
Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii
Zanzibar (ZSSF) Bi.Khadija Saleh Issa, wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo
yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar. 
WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango
Zanzibar Mhe.Dkt.Juma Malik Akil akimkabidhi Kitabu cha Safari ya Kustaafu mmoja wa Washiriki wa Mafunzo ya Maandalizi ya
Kustaafu kwa Wastaafu Watarajiwa Watakaolipwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii
Zanzibar (ZSSF) Hassan Khalifa Malemba, wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo
yaliyofanyika katika ukumbi wa Michezani Mall Jijini Zanzibar. 
0 Comments