6/recent/ticker-posts

BERRYBLACK AKUTANA NA BALOZI MZALE SWEDEN

Mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka Zanzibar Berryblack alikuwa Sweden katika mwendelezo wa ziara yake ya kimuziki katika nchi za ulaya na alikutana na Balozi wa Tanzania nchini Sweden Mohammed Mwinyi Mzale alipokwenda kumtembelea

Post a Comment

0 Comments