WANACHAMA wa CCM wa Maskani ya Kachorora wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Amani Abeid Karume akiwahutubia baada ya kuwe jiwe la msingi la Maskani hiyo ya Kachorora Rahaleo ikiwa ni moja ya sherehe za miaka 34 ya CCM.(Picha na Othman Maulid)
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar vDk. Amani Abeid Karume akikabidhiwa risala ya ujenzi wa maskani ya kachorora na mmoja wa mwanachama baada ya kuisoma ikiwa ni shamrashamra za kutimia miaka 34 ya Chama cha Mapinduzi
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Amani Abeid Karume akizugumza na Wazee wa Jimbo la Rahaleo baada ya kumaliza kuwahutubia wakati wa uzinduzi wa Maskani ya Kachorora ikiwa ni moja ya Shamrashamra ya kutimia miaka 34 ya CCM
0 Comments