MUWAKILISHI wa Mji Mkongwe Ismail Jussa akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vya habari vilioko zanzibar kuhusu kuwasilisha hoja yake binafsi anayokusudia kuiwakilisha katika mkutano wa baraza unaoendelea, kuhusu utaratibu wa uandaaji wa Katiba Mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. mkutano uliofanyika Afisi za CUF Vuga. Kulia ni Salum Bimani.
WANANCHI KIJIJI CHA LAJA WILAYANI KARATU WAISHUKURU TASAF UJENZI SEKONDARI
MPYA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Karatu
WANANCHI Kijiji cha Laja katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani
Arusha wameishukuru TASAF kukubali Mradi wa kupu...
1 hour ago
0 Comments