MIUNDOMINU ya Barabara Kisiwani Pemba inazidi kuimarika kwa ujenzi wake kama barabara hii ya Mtambile Kangani ikiwa imekamilika kwa kiasi cha asilimia 90 kumalizika kwake ikiwa ni moja ya barabara za Mkoa wa Kusini Pemba zinazojengwa.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
14 hours ago
0 Comments