RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein alipomuapisha Haroub Shaibu Mussa kuwa Katibu wa Rais
RAIS wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete alipomuapisha Fanual Mbonde kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais
Mradi wa CookFund unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) na kutekelezwa na
UNCDF waleta Mageuzi ya matumizi ya Nishati katika taasisi za umma.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Zaidi ya wanafunzi 62,000 kote Tanzania sasa wananufaika na majiko salama
na safi zaidi kufuatia usakinishaji wa zaidi ya majiko...
14 minutes ago

6 Comments
Kuna mh mmoja ameketi kwenye kitit wakati wenzie wote wamesimama.
ReplyDeleteNaam hiyo ni moja, Nyengine...
ReplyDeleteNadhani kiprotokali hao kina Abdulhamid na huyo Salmin Amour (mwanafunzi wangu na mtoto wa Mwalimu Amour) hawakupaswa kukaa ubavuni kwa raisi. Hicho kiapo huyo jamaa hali mbele yao lakini mbele ya Raisi. Kwahiyo hiyo ya Kikwete ndio iko sawa. Jamaa anakula kiapo mbele ya Raisi na sio hao wasaidizi wake
ReplyDeleteSwadakta. Nadhani ujumbe utafika kama ni kughafilika na kama ni utaratibu basi uangaliwe tena.
ReplyDeleteShukran wadau kwa michango yenu.
Good observation.
ReplyDeleteduh 2ko nyuma kiasi hiki hatari kweli kweli rais hajijui hata majukumu yake sasa wakila rushwa wako sawa kwa sababu hawajala kiapo cha utii kwa dr shein maajabu kweli kweli
ReplyDelete