MTEMBEZA Watalii katika kisiwa cha Pemba akiwa na mtalii huyo akimtembeza katika maeneo ya kisiwa hicho na kujipatia bidhaa za asili ya kisiwa hicho ya Makawa ikiwa ni moja ya vivutio vya watalii katika Visiwa vya Zanzibar. Tour Guide akiwajibika pekupeku bila ya hata viatu Mzungu mtalii akiwa na makawa..
RAIS DKT.SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI UJENZI WA MATANKI YA KUPOKEA
MAFUTA BANDARI YA DAR ES SALAAM.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi
wa M...
7 minutes ago
0 Comments