WAFANYAKAZI wa michirizi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiufanyia usafi mmoja wa mtaro ulioko katika Mji Mkongwe ili kupitisha maji machafu yanayozalishwa katika maeneo hayo. Naona Mheshimiwa anapiga kazi bila ya zana za kujikinga ( Glovu)
UELEWA WA PAMOJA KWA USTAWI WA PAMOJA: WANAHABARI WANOLEWA KUHUSU DIRA 2050
-
Wanahabari wametakiwa kuwa daraja la kuifikisha kwa umma mikakati na
malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kuhakikisha kunakuwepo
uelewa wa pamoja...
1 hour ago
0 Comments